Kweli pale kichefuchefu, ila mkuu harakati huzaliwa katika mazingira km hyo tuvute subra nadhan itajengwa ofice nzur
CHADEMA ni chama kinachoaminika sana na jamii na kinatarajiwa kuchukua madaraka pindi hawa magamba wakipigwa chini.
Lakini kusema kweli kale kanyumba mnakotumia kama makao makuu pale kinondoni kanatutia wasiwasi. Ni nini kinachowafanya msijenge?!! Ni ukata? mbona wabunge mnao wa kutosha na ruzuku ni nyingi. Kama vipi mwaweza hata kuchangishana mkawa na mjengo wa maana ili muwe na sura ya kuongoza nchi!!
Sidhani kama hoja yenu ina uzito, chama sio ofisi bali chama ni kuwafikia wananchi, sera nzuri za kuinua uchumi wa nchi.
swali; c.c.m wanalojengo zuri kule makao makuu dodoma, mbona nchi bado masikini miaka hamsini ya uhuru? (kilomita 20 kutoka ikulu hakuna maji ya bomba)
Ofisi zitajengeka kwa kutumia maandamano na kulia lia kuilaumu serikali?