Hawa majamaa bwana wakitoka mpaka wapige moyowe; ni sawa na mtu anaeachana na mke wake alafu anaanza kumueleza vibaya kwa watu; huo sio ustaarabu.
Wewe sepa unapokujua? chama kama kimekuboa kiache. Wewe huo ukatibu wa mkoa ungekuwa ccm unazani ungeupata kweli?