Jimmy Kadebedebe
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 468
- 191
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CDM.Ht wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Ninahisi vyuo vyote vinaweza kufungwa utakapofika wakati wa uchaguzi mwaka 2015, ili hao wanachuo wasipate nafasi ya kupiga kura. Stay tuned!ngoja hao viongozi tuanze kuwafungulia kesi za Ugaidi ndio wataijua ccm ni nini!
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CDM.Ht wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CDM.Ht wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Ninahisi vyuo vyote vinaweza kufungwa utakapofika wakati wa uchaguzi mwaka 2015, ili hao wanachuo wasipate nafasi ya kupiga kura. Stay tuned!
Sijui kama watafunga tena vyuo maana ni rahisi kuwabana wanafunzi wakiwa chuoni, au kama wakikuzidi unapoteza jimbo ambak vyuo vipo. Ukifunga vyuo wanatawanyika nchi nzima inakuwa hatari kwako. ningekuwa mimi CCM siwezi kufunga vyuo, kwanza vyuo vikuu vyiko kwenye majimbo machache hawawezi kuathiri mtindo wa ndiyooo bungeni bila kuchekecha mambo
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CHADEMA.
Wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CHADEMA.
Wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Nyie si ndiyo mnatuambia ccm imekufa, inakuwaje mnahaha kiasi hiki.