Wacha kuunga chumvi kwenye chaiHeee!!! Naona umejitokeza, vizur sana. Sasa tuanze na hili, imekuaje bado unaendelea na masomo hapo UDOM hali ya kuwa Jesca wenzako wamefukuzwa? Ina maana Ujeska wako ni tofauti na Ujeska wa wale wengine?
Barbosa kwanini mjione mna haki katika maswala yanayoamuliwa na wananchi ?!Mtalia mnavyotaka, mtalalamika mnavyotaka, mtaponda mnavyotaka lkn mwisho wa siku hamuwezi kushinda uchaguzi TanZania hata iweje na kama kuna ukweli wowote ule Dunia hii basi ndiyo huwo!
Huo ndio ukweli
Lakini kwakuwa CDM imejaa VILAZA hilo hawalikubari
HawalikubaliHuo ndio ukweli
Lakini kwakuwa CDM imejaa VILAZA hilo hawalikubari