Ahahahahahaa...good idea but "ngumu sanaaaa banaaaaaaa"...kwa maana ya kwamba ukiritimba wa serikali ya ccm hautotoa hiyo nafasi....tbc=ccm tv & radio, star tv & radio= dialo's property ambaye pia ni mbunge wa ccm, clouds fm=radioya ccm, itv & radio one=vibaraka wa ccm...labda waanzishe ya kwao