CHADEMA: Chondechonde Rais Magufuli

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Bahi, Dodoma wamemshauri Rais John Magufuli kufanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote.

Vijana hao wametoa kauli hiyo leo walipokuwa katika kongamano la vijana lililolenga kuwajengea uwezo ili kufanya siasa zenye mafanikio.

Malambaya Manyanya, Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Dodoma amesema, ni wakati sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kung’olewa kutokana na kulewa madaraka pia kujaa kiburi.

Amewataka vijana wa Chadema na wale katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuunganisha nguvu kwa lengo la kuiondoa CCM.

Mbali na hilo vijana hao wamesema, Serikali ya Awamu ya Tano ni kati ya serikali zenye utawala mbaya kuliko zilizopita kwa madai, inaendeshwa kwa kuvunja Katiba ya Nchi sambamba na kukiuka haki za binadamu.

Hata hivyo, vijana hao wamelani Serikali ya Rais Magufuli kuzuia vipindi vya Bunge kuoneshwa moja kwa moja.

Vijana hao kwa pamoja walisema kitendo cha serikali ya awamu ya tano ya kuzuia bunge lisioneshwe moja kwa moja ni kitendo cha kuvunja katiba ya nchi.

Katika hatua nyingine vijana hao wamedai kitendo cha Rais Magufuli kujidai anatumbua majipu ni usanii mtupu.
 
Safi sana kwa kumwambia ukweli mzee wa majipu maana kwa kufanya hivyo mnaonyesha kuwa mnampenda
 
BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Bahi, Dodoma wamemshauri Rais John Magufuli kufanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote.

Vijana hao wametoa kauli hiyo leo walipokuwa katika kongamano la vijana lililolenga kuwajengea uwezo ili kufanya siasa zenye mafanikio.

Malambaya Manyanya, Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Dodoma amesema, ni wakati sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kung’olewa kutokana na kulewa madaraka pia kujaa kiburi.

Amewataka vijana wa Chadema na wale katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuunganisha nguvu kwa lengo la kuiondoa CCM.

Mbali na hilo vijana hao wamesema, Serikali ya Awamu ya Tano ni kati ya serikali zenye utawala mbaya kuliko zilizopita kwa madai, inaendeshwa kwa kuvunja Katiba ya Nchi sambamba na kukiuka haki za binadamu.

Hata hivyo, vijana hao wamelani Serikali ya Rais Magufuli kuzuia vipindi vya Bunge kuoneshwa moja kwa moja.

Vijana hao kwa pamoja walisema kitendo cha serikali ya awamu ya tano ya kuzuia bunge lisioneshwe moja kwa moja ni kitendo cha kuvunja katiba ya nchi.

Katika hatua nyingine vijana hao wamedai kitendo cha Rais Magufuli kujidai anatumbua majipu ni usanii mtupu.
BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Bahi, Dodoma wamemshauri Rais John Magufuli kufanya kazi kwa manufaa ya Watanzania wote.

Vijana hao wametoa kauli hiyo leo walipokuwa katika kongamano la vijana lililolenga kuwajengea uwezo ili kufanya siasa zenye mafanikio.

Malambaya Manyanya, Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Dodoma amesema, ni wakati sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kung’olewa kutokana na kulewa madaraka pia kujaa kiburi.

Amewataka vijana wa Chadema na wale katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuunganisha nguvu kwa lengo la kuiondoa CCM.

Mbali na hilo vijana hao wamesema, Serikali ya Awamu ya Tano ni kati ya serikali zenye utawala mbaya kuliko zilizopita kwa madai, inaendeshwa kwa kuvunja Katiba ya Nchi sambamba na kukiuka haki za binadamu.

Hata hivyo, vijana hao wamelani Serikali ya Rais Magufuli kuzuia vipindi vya Bunge kuoneshwa moja kwa moja.

Vijana hao kwa pamoja walisema kitendo cha serikali ya awamu ya tano ya kuzuia bunge lisioneshwe moja kwa moja ni kitendo cha kuvunja katiba ya nchi.

Katika hatua nyingine vijana hao wamedai kitendo cha Rais Magufuli kujidai anatumbua majipu ni usanii mtupu.
Kwa siasa za kihasama nchi hii sidhani kama kuna mtu atasikiliza kinachosemwa na hawa vijana zaidi ya kejeli.
 
You dont have 2win every argument sometimes u agree to disagree. Tanzania itaendelea kuwepo huitaji kukata tamaaa
 
Back
Top Bottom