CHADEMA chaweka kiporo urais

CHADEMA chaweka kiporo urais

EasyFit

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
1,269
Reaction score
1,082
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, kimesema kipaumbele chao sasa ni kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

Tayari baadhi ya vyama vinavyounda UKAWA vimeshaanza mchakato wa kuwapata wagombea wao wa urais. Chama cha wananchi CUF kimempendekeza Prof. Lipumba kukiwakilisha wakati NCCR kimesema kitamtangaza mgombea wao mwezi ujao, NLD wao wamesema wanasubiri maelekezo ya UKAWA.

Binafsi nafikiri ni uamuzi mzuri.

Source: Magazetini leo.
 
  • Thanks
Reactions: igp
Chadema hawana mgombea urais kila mmojawao anaogopa kutia mguu.
 
Safi sana lakini nafikiri tuwe tumeshamjua mgombea kuanzia mwezi wa sita ili mikakati ya ushindi ianze kupangwa mapema
 
Chadema hawana mgombea urais kila mmojawao anaogopa kutia mguu.

Hawa watu hawakurupuki, Kumbuka 2010 baada ya kupima joto akateuliwa dk slaa hatua za mwisho, ona jinsi magamba yalivyopelekwa puta
 
CHADEMA wamekomaa kisiasa na kila mwanachama ni jembe na anaweza kuwawakilisha vema, pia hawana udikiteta wa mtu mmoja kugombea kila mwaka wa uchaguzi, utaona tu watakavyofanya na utapenda.
 
This is to let poor scales a.k.a gambas focus on Lipumba and use all their weapons on a wrong target.
Hongereni sana kwa uamuzi murua.
 
Mgombea wa kudumu wa CHADEMA si Mzee Slaa?

Kwani lazima atangazwe? si kila mtu anajua?
 
Chadema hawana mwenye sifa kwan kila akiyepo n gundu. Pia wanapima upepo kujua udhaifu wa wagombea wa vyama vingne vya ukawa ili iwe rahisi kuwapku wakat wa kura ya maoni kwa mgombea wa ukawa.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, kimesema kipaumbele chao sasa ni kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

Tayari baadhi ya vyama vinavyounda UKAWA vimeshaanza mchakato wa kuwapata wagombea wao wa urais. Chama cha wananchi CUF kimempendekeza Prof. Lipumba kukiwakilisha wakati NCCR kimesema kitamtangaza mgombea wao mwezi ujao, NLD wao wamesema wanasubiri maelekezo ya UKAWA.

Binafsi nafikiri ni uamuzi mzuri.

Source: Magazetini leo.


Tumbo joto.hawana uwezo wa kupumua (kumb
aja)kwasababu wanatumbo la kuhara.
 
Mgombea wa kudumu wa CHADEMA si Mzee Slaa?

Kwani lazima atangazwe? si kila mtu anajua?

Naona unabeeep subiri usiwe na haraka mtapigiwa tu nyie nendeni mkacheze viduku kama kawaida yenu mwaka huu hamchoki .
 
Ukombozi wa nchi hii kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi ccm, utaletwa na ukawa pekee katika nchi hii. Prof. Lipumba ni ukawa hivyo tumuombee afya njema ili magamba yakisikia jina lake yanapukutika.

Vile vile Chadema endeleeni na kuhamasisha daftari la wapiga kura, mgombea wa urais kwa sasa si hoja ya msingi kwani Chadema naamini hakuna mwenye tamaa na Ikulu kama ccm.
 
Back
Top Bottom