gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 814
- 1,490
Sisi wana CHADEMA tulio kipigania chama kwa damu na kuwa tayari kutoa uhai wetu kwa ajili ya chama tunasikitika na mfumo wa chama kinavyo endeshwa hasa katika ugawaji wa nafasi za viti maalum.
Viti maalum vimegawanywa kwa upendeleo wa kindugu kikanda pia kibaguzi na kuacha watu walio kipigania chama patupu, pia kuna baadhi ya mikoa ambayo imekuwa mstari wa mbele kuleta mabadiliko imetupiliwa mbali katika viti maalum.. Shame.
Wamepata mahawara na ndugu zao pamoja na watoto wao na jamaa wa kabila zao. Makamanda wa kweli wameachwa!
Hivyo mimi binafsi nikiri wazi kuwa CHADEMA tuliokuwa tunaamini itatuletea mabadiliko sasa haina dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko.
Tumekuwa tukihamasishwa tuandamane sisi ilhali inajulikana maandamano yalizuiwa lengo lilikuwa vijana waumie kwa manufaa ya watu wachache.
Mimi nasema sasa itakuwa ni vigumu kuing'oa CCM madarakati hata baada ya miaka 100 ikiwa chama tulichokuwa tunakishabikia hakina dhamira ya kweli ya kutuletea mabadiliko tuliyo yaamini.
Pamoja na majonzi makubwa niliyokuwa nayo tangu kutangazwa kwa mheshimiwa Magufuli kuwa Raisi wa Tanzania lakini sasa nashawishika kusema HAPA KAZI TU.
Viti maalum vimegawanywa kwa upendeleo wa kindugu kikanda pia kibaguzi na kuacha watu walio kipigania chama patupu, pia kuna baadhi ya mikoa ambayo imekuwa mstari wa mbele kuleta mabadiliko imetupiliwa mbali katika viti maalum.. Shame.
Wamepata mahawara na ndugu zao pamoja na watoto wao na jamaa wa kabila zao. Makamanda wa kweli wameachwa!
Hivyo mimi binafsi nikiri wazi kuwa CHADEMA tuliokuwa tunaamini itatuletea mabadiliko sasa haina dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko.
Tumekuwa tukihamasishwa tuandamane sisi ilhali inajulikana maandamano yalizuiwa lengo lilikuwa vijana waumie kwa manufaa ya watu wachache.
Mimi nasema sasa itakuwa ni vigumu kuing'oa CCM madarakati hata baada ya miaka 100 ikiwa chama tulichokuwa tunakishabikia hakina dhamira ya kweli ya kutuletea mabadiliko tuliyo yaamini.
Pamoja na majonzi makubwa niliyokuwa nayo tangu kutangazwa kwa mheshimiwa Magufuli kuwa Raisi wa Tanzania lakini sasa nashawishika kusema HAPA KAZI TU.