CHADEMA Bukene Kufanya Mkutano 26 Julai, 2014

CHADEMA Bukene Kufanya Mkutano 26 Julai, 2014

Joined
Jul 21, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Ndugu wanabukene na kata zote za jimbu la bukene tunapenda kuwataarifu kua 26 julai 2014 diwani wakata ya bukene ndg Omary Omary atafanya mkutano ktk uwanja wa Igembe Sabo atajibu maswali atakao ulizwa na wapiga kura wake.

Maada kuu ni kuhusu ujio wa kamchape hawa watu wapo kibiashara na ushirikina zaid wakidai wao wanatoa na kunyanganya et uchawi inalazimika kila kaya elf kumi.jambo ambalo diwani halitaki kabisa waibiwe wapiga kura wake karibuni nyote.

Peopleeee's
 
Serikali iwe makini na hawa waganga wakienyeji, wengine wanazusha migogoro mbele ya jamii isiyo ya lazima!
 
Tunawatakia mkutano mwema makamanda, chadema tumekaba kote
 
Kamanda Omary nini msimamo wako kuhusu 2bn za Resolute?ufisadi wa Engineer wa maji unaujua?madiwani wahongwa na mkuu wa idara ya maji kumkataa mkuu wa idara aliyeletwa na utumishi kuchukua nafasi ya Kaimu.nini msimamo wako kamanda,ukizingatia majungu,umbea wa mama huyo kwa back up ya dhro
 
Ndugu wanabukene na kata zote za jimbu la bukene tunapenda kuwataarifu kua 26 julai 2014 diwani wakata ya bukene ndg Omary Omary atafanya mkutano ktk uwanja wa Igembe Sabo atajibu maswali atakao ulizwa na wapiga kura wake.

Maada kuu ni kuhusu ujio wa kamchape hawa watu wapo kibiashara na ushirikina zaid wakidai wao wanatoa na kunyanganya et uchawi inalazimika kila kaya elf kumi.jambo ambalo diwani halitaki kabisa waibiwe wapiga kura wake karibuni nyote.

Peopleeee's

TUNAMSHUKURU SANA MH DIWANI , CDM HATUAMINI uchawi .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom