CHADEMA & ACT Wazalendo wote chali, nimebaki na chama la wana tu WCB

ChizzoDrama

JF-Expert Member
Sep 29, 2019
1,317
1,229
Hapa sio darasani sipo hapa kumfundisha mtu katika Uzi huu. NI kuku -tahadharisha kuwa usijipe presha maisha yenyewe mafupi haya.

Kitoto kidogo kushinda muda wote unajadili mambo ya CAG, uchaguzi, mara sijui mkutano gani. Utazeeka haraka wewe tulia sehemu. Agiza spirit taratibu sikiliza Baba lao yake Diamond Platnumz.

Uzi huu uta expire November 9 saa 7 mchana. Mbali na hapo ukitukana nakutukana pia mimi sio mlokole.
 
Back
Top Bottom