Chadema acheni kutafuta cheap popularity!

Chadema acheni kutafuta cheap popularity!

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,798
Naangalia clouds tv habari, kuna jamaa kafanana na Mbowe sijui ni katibu wa vijana wa chadema na jamaa mmoja anaitwa Malya, eti wanasema bodaboda kuziiliwa kuingia city center wameonewa! yaani pamoja.na sababu za msingi zilizotolewa na serikali bado watu wenye siasa za matukio wanaona ni mtaji wao wa kisiasa
 
Acha upimbi ww, bodaboda bila kuingia cty cntr bado hawajaish,any way ck zote aliyeshiba..........
 
si boda boda ndo miongoni mwa zile ajira mil5 CCM wanadai wameongeza kwa sector binafsi. tena hapa mnasemaga mmetengeneza ajira milion 1 kwa kada hii ya Bodaboda.
 
Wanatafuta single ya kutolea album yao mpya, maana hawajauza kabisa single zao zilizopita hazijafanya vizuri sokoni
 
Naangalia clouds tv habari, kuna jamaa kafanana na Mbowe sijui ni katibu wa vijana wa chadema na jamaa mmoja anaitwa Malya, eti wanasema bodaboda kuziiliwa kuingia city center wameonewa! yaani pamoja.na sababu za msingi zilizotolewa na serikali bado watu wenye siasa za matukio wanaona ni mtaji wao wa kisiasa

Jambo zima la kuruhusu boda boda kama usafiri wa umma ni MATOKEO YA SIASA ZA KILAGHAI ZA CCM.
UKIANGALIA KWA MAKINI UTAGUNDUA MTAJI WA CCM NI PAMOJA NA
1.BODABODA
2.WAPIGA DEBE MATEJA
3.VIBAKA MITAANI
4.WACHAWI.
 
Back
Top Bottom