Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Chini ya utawala wa Nguvu yaUmma,
Nilikwishawaambia "mawe ni mepesi mkononi, ila ni mazito usoni" sasa leo hii imeanza tarime, mfano ni huu kuanzia sasa, na utaendelea kuwatokea viongozi (watawala)wote.
Mimi ni miongoni mwa vijana tunaoitakia mema jamii yetu ya kitanzania, na kwa sababu hii sina budi kuwapongeza wananchi wa nyamongo kwa yale waliyoyafanya kwa kuwaadhibu hao wawakilishi fake.
Huu msemo wangu "mawe mepesi mikononi ila mazito usoni", unamaana kuwa, kwa wananchi wenye uchungu, ni rahisi kuyachukua hayo mawe bila kusikia uzito wake, na yatagundulika kuwa ni mazito, pindi yatakapotua usoni mwa mlengwa.
Natoa onyo kali kwa viongozi( watawala), wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara na kutamka senteso nyepesi zenye kebehi na zinazoudhi, adhabu yao, itakuwa zaidi ya hii ya nyangw'ine.
Pia watambue kuwa amani haipo tena tanzania, bali kuna utulivu tu, utulivu huu, ukitibuliwa hata na sisimizi, ni lazima haya ya tarime yatokee, hii ni mara ya pili katika mwezi huu wa tano, kwa tukio la aina hii kutokea, tumeona jinsi lamwai alivyoabishwa kule jimboni kwake kwa kupigwa mawe, je, hii ndio aina ya uwajibishajia wanayoitaka ccm ili wabadilike? basi na sisi wananchi tumegundua kuwa, njia nzuri ya kufikisha ujumbe kwao ni hii, ya kuwachapa mawe mepesi mikononi, na yakitua usoni mwao, yanadhihirisha uzito wake.
Na sio tu kwa nyambari, ila tukio hili litawafuata wote waliomsaidia kuingia bungeni, akina wasira, mama kabaka wale wote tunaowajua n.k, pia kwa viongozi wengine wenye kejeli, mizaha na dhihaka nao wamo kwenye orodha.
Nashukuru Bwana mwita waitara aliyekuwa mgombea ubunge Tarime(chadema), hakuwepo kule Tarime, vinginevyo wangemsingizia kuwa yeye kawachochea na kuwatuma watu wakampe kichapo nyang'wine.
"Chacha Wangwe (Rasta) bado anaishi mioyoni mwa wanatarime, aliowafundisha kuukataa unyanyasaji, uonevu na dhuluma. R.I.P Wangwe"- Nyakarungu-2011.
KILA MWENYE PUMZI NA APUMUE KWA NGUVU BILA MALIPO.
Mhmm time will tell! Tarime nasikia mliwai kudai mna nchni yenu! msije mkawa ndiko mnakoelekea tena, swali kwanini mlipoteza hilo jimbo kirahisi hivyo tena kwa mtu hasiye na hata abcd.. za siasa??
Mkisha poteza jimbo ni bora mkubali na mjifunze kutokana na makosa yenu siyo mjiandae kuunda nchni yenu! Hamwezi kunishawishi hata siku kwa tatizo la kujitakia labda mje na ushahidi kuwa mliibiwa kura lakini pia sidhani wala siamini maana mbona hawakuwaibia wakatika wa Chacha na Mara baada ya kufariki Chacha!
Mi ni mingoni mwa watu ambao siwaelewi katika hili ingawa nyie mnaliona ni la ufahari. Bora watu wajue hii ni siasa na si vita kama hawa ndugu zetu wanavyotaka iwe vita! Naamini matumizi ya nguvu yanaweza kutumika lakini kama majibu yote yakishindikana, bado kuna jibu la sanduku la kura kuweni na Busara mtumie hiyo njia.
Mhmm time will tell! Tarime nasikia mliwai kudai mna nchni yenu! msije mkawa ndiko mnakoelekea tena, swali kwanini mlipoteza hilo jimbo kirahisi hivyo tena kwa mtu hasiye na hata abcd.. za siasa??
Mkisha poteza jimbo ni bora mkubali na mjifunze kutokana na makosa yenu siyo mjiandae kuunda nchni yenu! Hamwezi kunishawishi hata siku kwa tatizo la kujitakia labda mje na ushahidi kuwa mliibiwa kura lakini pia sidhani wala siamini maana mbona hawakuwaibia wakatika wa Chacha na Mara baada ya kufariki Chacha!
Mi ni mingoni mwa watu ambao siwaelewi katika hili ingawa nyie mnaliona ni la ufahari. Bora watu wajue hii ni siasa na si vita kama hawa ndugu zetu wanavyotaka iwe vita! Naamini matumizi ya nguvu yanaweza kutumika lakini kama majibu yote yakishindikana, bado kuna jibu la sanduku la kura kuweni na Busara mtumie hiyo njia.
' mawe ni mepesi mkono lakini mazito usoni' mwisho wa kunukuu.anayebisha amuulize nyangwine maana yule wa Muleba uwenda ameshasaau uzito wake.muraaaa tz bado mmeibeba begani kwa ushujaa wenu.
Na huu ni unabii,
Endapo jk hataacha unafiki wa kujifanya hajui yanayotendeka kichinchini, na endapo ataendelea kuwasingizia wasaidizi wake kuwa ni wavivu, na kuwa wanamdanganya, basi atazijutia hizi dakika chache alizonazo za kujisafisha na kuwatumikia watanzania.
Endapo serikali haitakuwa na msimamo kusimamia na kutekeleza vipaumbele vyake, na kama itaendelea kuendesha nchi eti kwa kuangalia na kufuata upepo wa siasa unavyovyuma,na ikasahau sera na vipau mbele vyake, basi ijiandae na tukio kubwa la kihisitoria litakaloikumba.
MANENO HAYA HAYATAANGUKA CHINI