Wakati anatangaza habari za uboreshaji wa reli ya Tazara katika kutimiza miaka 35 tangu reli hiyo ianze kazi, mtangazaji wa Ch 10 Mcharo Mrutu alimtaja Rais wa zamani wa Zambia -- Kenneth Kaunda kama ni hayati yaani marehemu, sambamba na Mwalimu Julius Nyerere.
Nafanya kazi hapo,
Kwa niaba ya Africa Media Group wamiliki wa channel ten,DTV,Magic FM,,bunco radhi kwa kosa hilo.
Asante.
Navyofahamu mimi Kaunda bado hajafa. Watangazaji wa Ch 10 lazima wawe makini.
Chanzo: Taarifa ya habari Ch 10 saa moja usiku huu.