dah nashukuru kwa kunisaidia mtu anaambiwa ukweli anakua na hasira,sasa nin maana ya kuuliza? certfcate hadi degree? labda karudie tena kusoma ilo tangazo,lugha nayo wakati mwingne tatizo,au naweza kukutajia vyuo vinavyotoa management katika afya,kama mzumbe,udom health informatin system then uende na cheti chako cha certificate kama watakuchukua,nilichokwambia hapo juu cha kwel,wengne hatupo jf kwa ujinga.kuwa muelewa