Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
Hiki Chama cha Mapinduzi ndiyo Taasisi pekee hapa nchini inayoongoza kwa Rushwa ambayo inaweza kushindanishwa na nyingine Barani Afrika. Kwa maana kama kuna mashindano ya rushwa hapa Afrika sisi tunawatuma CCM watuwakilishe ili kupata ushindi.
Hilo hata Mwenyekiti wao analijua wazi na alisha declare kulishindwa
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali