CCM yaibuka kidedea.

CCM yaibuka kidedea.

clementsanga

Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
65
Reaction score
27
Mgombea wa CCM katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kiembesamaki, Zanzibar, Thabit Kombo ameibuka kidedea kwa ushindi wa kura 1856, sawa na asilimia 75.1!
 
CCM Oyee. Kidumu chama cha mapinduzi. Safi sana bado huko Arusha.
 
Ushindi gani huo Mpaka WaMasai wamepelekwa kupiga kura
 
CCM SAFII! SIKU ZOTE MAJI HUFUATA MKONDO. ACHA HAO WENYE CHAMA DUNI MAISHA -cdm WALIE TU.
 
CDM ingeshinda hii topic ingekuwa na page zaidi ya 20
 
Back
Top Bottom