CCM yagawanyika

"Kuna Karne itafika kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi” Shaaban Robert
"Never underestimate the power of fools in large numbers. They can elect one of their own to rule".
 
Ccm nan asiyekuwa mwizi? Tena ingawa wizi aina yoyote ni wizi, nafuu mwizi wa kalamu kuliko jambazi anayeweza kutoa uhai wa binadamu
 
Kuna mtu analazimisha watu waishi maisha ya msimu ambao tayari umeshapita, inafikia hatua mpaka analazimisha kupata baraka kutoka kwa MFU! Natamani kumjua baba wa kiroho wa huyu mtu.
Masanja na alikuwa kiongozi wa Sifa na kuabudu pale Feel Free Church
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…