CCM waumbuka Mwanza

Hongereni sana, habari njema hiyo.. Wafanyeni kitu mbaya October
 

Katika mkoa wa Kagera hasa Wilaya za Karagwe na Kyerwa Mahakama imegeuka mwiba mchungu kwa CCM.Kesi zilizofunguliwa na WANA UKAWA wakiongozwa na CHADEMA kupinga matokeo na mapingamizi zimetenguliwa na sehemu kubwa ya uongozi wa Serikali za mitaa zipo wazi.Jambo ili litakuwa na athari kubwa kwenye maendeleo ukizingatia kuwa hawa viongozi nido muhimili wa maendeleo katika ngazi za mitaa.CCM ubishi wao na kuwatumia Wakurugenzi mitaa haitawaliki sasa.
 
Hahaaaa haki hucheleweshwagwa tu. Ccm tuachieni nchi yetuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…