Kuna tetesi kua Kikwete anataka kumhonga Sita uwaziri ili kumtuliza asahau walio mfanyia.
kama nikweli Sita usikubali kudanganywa kitoto na hayo majizi wame kuengua kwa hila wanajua umahiri wako wa kuongoza bunge la viwango nikikwazo kwao wewe usijali kwani historia itakuku mbuka.
alafu mbona wengi mnamtetea sata uyu Mr 6.......mimi sioni ufanisi wake wa kupendwa na wa jf hivyo, au mmesahau ile ofisi yake ya mil 500 nini?
mitanzania kwa kujisahau bana....