Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Mwenyekiti wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete hivi karibuni atakabidhi kiti kwa Mh.Magufuli,
Upande wa Katibu wa chama no prob with Kinana ila kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi ambapo kwa wakati huu tunahitaji saaana kupunguza tofauti zetu na wanachama, wapenzi na mashabaki wa vyama vingine!
Tunaowategemea wamechaguliwa kuwa wabunge mfano Nape, January Makamba et al.
Je, vipi kuhusu Mr.Charismatic Humphrey Polepole!
Upande wa Katibu wa chama no prob with Kinana ila kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi ambapo kwa wakati huu tunahitaji saaana kupunguza tofauti zetu na wanachama, wapenzi na mashabaki wa vyama vingine!
Tunaowategemea wamechaguliwa kuwa wabunge mfano Nape, January Makamba et al.
Je, vipi kuhusu Mr.Charismatic Humphrey Polepole!