Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!.
Kwa nini?
Mara ya mwisho kusikia chadema lini maana ni ukawa na Lowasa
Jamani tajeni jina la chama chenu....tumekisahau. Mara Magufuli, Mara john Pombe ndiyo yanasikika lakini CCM imekuwa adimu mno!.
Kwa nini?