kwa matokeo ya mwka huu percent watayopata ccm dio exactly idadi ya wajinga wa tz, wasiojua kusoma, kuandika, na kuchambua mambo. ukitaka kuniprove sahihi just angalia maeneo ccm walioshinda uone maendeleo yake, raia wake, hao ndo wanaifanya tz iwe kumi bora ktk umaskini kwa miaka yote! tunawalisha na kuwafanyia kazi, wao wamebai kuwa wamachinga na kutembeza mboga mitaani! kuikomboa tz lazma kelimisha hii jamii kwanza, ila lindi mtwara, bagamoyo elimu hiyo kazi ipo!