CCM wakimtaka yoyote chadema, Wanaweza kumchukuwa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Haya mambo ya kuitana sijui mchumia tumbo ni wivu tu na kwa sababu wewe haujapewa nafasi, leo hii CCM wakimtaka yoyote yule ajiunge nao watampata na ataitosa chadema hata kama ni Mbowe, ni swala la dau tu, hivyo acheni Wivu wa kitoto, hakuna asiye na bei hasa kwenye nchi ambayo kila mtu ana asili ya Umaskini,...
 
Siasa za vyama ni kama mpira wa miguu tu. Hata CDM inauwezo wa kumpandia dau yeyote ndani ya CCM na akakubali kuichezea CDM. Tatizo ni kwamba baadhi ya wachezaji wa hivi vyama gharama zao ni kubwa sana kiasi kwamba mkimnunua chama kitatikisika kiuchumi. CCM haina uwezo wa kumnunua Mbowe huyu Mh. dau lake ni kubwa sana.
 
Siasa za vyama ni kama mpira wa miguu tu. Hata CDM inauwezo wa kumpandia dau yeyote ndani ya CCM na akakubali kuichezea CDM. Tatizo ni kwamba baadhi ya wachezaji wa hivi vyama gharama zao ni kubwa sana kiasi kwamba mkimnunua chama kitatikisika kiuchumi. CCM haina uwezo wa kumnunua Mbowe huyu Mh. dau lake ni kubwa sana.


Mbowe ananunilika tena kirahisi sana kama wakimtaka, CCM ni Chama Dola usisahau hilo!
 
You have spoken the naked truth by agreeing to call a spade spade. Ingawa kuna nyumbu watakuja kuleta figisu figisu zao.

Hata hao viongozi wa upinzani kwa zaid ya 98% wametokana na kupika ccm na wao kujifanya wana amua kusepa na kuanzisha saccoss zao za kujaza matumbo.

Ila mleta Uzi umesema kweli kabisa ingawa ccm chama kubwa haitaki makapi ya upinzani, na wakija wanakuwa kama reject tu.
 
Haya mambo ya kuitana sijui mchumia tumbo ni wivu tu na kwa sababu wewe haujapewa nafasi, leo hii CCM wakimtaka yoyote yule ajiunge nao watampata na ataitosa chadema hata kama ni Mbowe, ni swala la dau tu, hivyo acheni Wivu wa kitoto, hakuna asiye na bei hasa kwenye nchi ambayo kila mtu ana asili ya Umaskini,...

Kwa vile mmemnunua Lipumba na Slaa basi mnadhani wote wana bei ya Masogange au Jokate.
 
You have spoken the naked truth by agreeing to call a spade spade. Ingawa kuna nyumbu watakuja kuleta figisu figisu zao.

Hata hao viongozi wa upinzani kwa zaid ya 98% wametokana na kupika ccm na wao kujifanya wana amua kusepa na kuanzisha saccoss zao za kujaza matumbo.

Ila mleta Uzi umesema kweli kabisa ingawa ccm chama kubwa haitaki makapi ya upinzani, na wakija wanakuwa kama reject tu.

Majangili yanajaribu kutafuta majambazi wa kusaidia kuiba,try Lissu basi tuone kama nyie MNA pesa.
 
You have spoken the naked truth by agreeing to call a spade spade. Ingawa kuna nyumbu watakuja kuleta figisu figisu zao.

Hata hao viongozi wa upinzani kwa zaid ya 98% wametokana na kupika ccm na wao kujifanya wana amua kusepa na kuanzisha saccoss zao za kujaza matumbo.

Ila mleta Uzi umesema kweli kabisa ingawa ccm chama kubwa haitaki makapi ya upinzani, na wakija wanakuwa kama reject tu.
Kunatofauti kubwa sana ya kiitikadi kati ya vyama vya upinzani na CCM. Mtu yeyote anayetoka CCM kwenda opposition ni rahisi sana kufanya kazi huko bali akitoka opposition kwenda CCM hataweza kamwe kufanya kazi kwa Uhuru na Amani. Sababu ni hizi; ukiwa ccm wewe kazi yako ni kusifia tu liwe baya au zuri au ukandamizaji. Ukiwa opposition kazi yake ni kukosoa , kushauri, kupinga uonevu na dhuluma na kutetea wanyonge. Ni kazi ngumu sana kusifia ujinga unaouona kwa macho yako mpaka ujichetue kidogo bali ni rahisi sana kukosoa kwa kua unahitaji tu ujasiri, weledi na uzalendo.
 
Haya mambo ya kuitana sijui mchumia tumbo ni wivu tu na kwa sababu wewe haujapewa nafasi, leo hii CCM wakimtaka yoyote yule ajiunge nao watampata na ataitosa chadema hata kama ni Mbowe, ni swala la dau tu, hivyo acheni Wivu wa kitoto, hakuna asiye na bei hasa kwenye nchi ambayo kila mtu ana asili ya Umaskini,...
Kinachofurahisha na kutia Moyo, ni kwamba kila mkilala na kuamka, ni kuiota na kuiwaza CDM, sio ATC wala CUF au NCCR.
 
Kwahiyo wewe kwa akili yako unaona ndo habari la upinzani?? Kwa taarifa yako hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Lisu mwenyewe anajua.
Majangili yanajaribu kutafuta majambazi wa kusaidia kuiba,try Lissu basi tuone kama nyie MNA pesa.
 
Ha ha ha haaaaaa

Tena walivyo hawana swra siku hizi basi watakimbilia kama hakuna breki.

Magufuli kawaweza sana sana, haongei menginhata anapoapisha watu basi nao wamekosa la kuongelea.

Wanasikitisha, kuwa mpinzani siku hizi wa damu damu ni kuwa kwamba mtu kanyooshwa na awamu hii haswaaaaaa. Sioni mtu anayejielewa kukaa na kushabikia chama ambacho hakina mbele wala nyuma, viongozi wana yao na wanachama hata wasio na kadi wana yao.
 
Haya mambo ya kuitana sijui mchumia tumbo ni wivu tu na kwa sababu wewe haujapewa nafasi, leo hii CCM wakimtaka yoyote yule ajiunge nao watampata na ataitosa chadema hata kama ni Mbowe, ni swala la dau tu, hivyo acheni Wivu wa kitoto, hakuna asiye na bei hasa kwenye nchi ambayo kila mtu ana asili ya Umaskini,...
Nonsense.It's only the PhD holders like silaha and Lipoumber. Otherwise the rest are firm and principled
 
Hata hao upinzani wengi wao wanajilazimisha tu kujifanya wanakosoa serikali kila siku kwa kila jambo , ila nataka kukwamvia kuwa wapinzani walio wengi wanajilazimisha tu kupona, mfano mzuri Umeona jinsi yule mbunge wa kawe alivyokosa break juzi, akadhani ana test kutoa majibu ufipa kumbe kasahau kuwa yuko mjengoni. Kaishia kujutia sana msukumo wake uliotokana na kudaka msosi wa siku.
Kunatofauti kubwa sana ya kiitikadi kati ya vyama vya upinzani na CCM. Mtu yeyote anayetoka CCM kwenda opposition ni rahisi sana kufanya kazi huko bali akitoka opposition kwenda CCM hataweza kamwe kufanya kazi kwa Uhuru na Amani. Sababu ni hizi; ukiwa ccm wewe kazi yako ni kusifia tu liwe baya au zuri au ukandamizaji. Ukiwa opposition kazi yake ni kukosoa , kushauri, kupinga uonevu na dhuluma na kutetea wanyonge. Ni kazi ngumu sana kusifia ujinga unaouona kwa macho yako mpaka ujichetue kidogo bali ni rahisi sana kukosoa kwa kua unahitaji tu ujasiri, weledi na uzalendo.
 
Back
Top Bottom