CCM: Ushindi ni asilimia 69

CCM: Ushindi ni asilimia 69

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC00432.jpg
 
Kama ni hivyo wanahangaika na kampeni za nini? mi wananikera Hawa watu!!
 
Hiyo ni mpaka sasa, asilimia hizo zitaongezeka kadri kampeni zinavyoendelea. Lengo ni kupata above 70.
 
Kumbe hata ccm wenyewe hawamkubali magufuli Yaani wamempa asilimia 69 tu?
 
Kutokana na #KuraYanguApp maoni ya Uraisi mpaka sasa : Mh. Anna Mgwira Kura 132 (02.45%) , Mh. Edward Lowassa Kura 4557 (84.56%) , Mh. John Magufuli Kura 700 (12.99%) ,
 
Back
Top Bottom