johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Nipo hapa Al jazeera news naangalia mchuano wa kampeni za awali za Urais wa Marekani
Kilichonifurahisha tena MNO ni mgombea uRais Mmoja na Wafuasi wake kutumia mbinu ya kupiga Push up iliyoasisi na Shujaa Maguful wa Chato, mkoani Geita nchini Tanzania barani Africa
I wish you a Merry Christmas 😀
Kilichonifurahisha tena MNO ni mgombea uRais Mmoja na Wafuasi wake kutumia mbinu ya kupiga Push up iliyoasisi na Shujaa Maguful wa Chato, mkoani Geita nchini Tanzania barani Africa
I wish you a Merry Christmas 😀