CCM pelekeni green Guards Kibiti kuwalinda viongozi wa Chama

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Kazi mojawapo na muhimu kwenye vikundi vya ulinzi ndani ya taasisi za vyama vya siasa ni kulinda viongozi wa chama na mali kwa ujumla.

Haya matukio yanaibua hisia kali sana kwenye jamii, hayavumiliki kabisa sio ya kupuuzia hata kidogo. Kuna kila sababu ya CCM kupeleka Green guards wao kulinda viongozi wao na mali kule wilayani kibi na Rufiji, wakati huo huo polisi wakiendelea na operations mbali mbali kuwasaka wahalifu katika maeneo mbalimbali.

Viongozi wa CCM lifikirieni na hili msikae tu kimya kufuatia matukio kama haya.
 
Kejeli kama Hizi zina Tija gani? Acha Mdeki Barabara

Suala la Ulinzi ni La Kushirikiana Waleteni Red Brigade

Lwakatare.jpg
2.jpg

red_brigade1.jpg
 
teh teh teh labda uwaambie waende Lumumba kuchukuwa posho hapo watakubaliana na wewe
 
Kazi mojawapo na muhimu kwenye vikundi vya ulinzi ndani ya taasisi za vyama vya siasa ni kulinda viongozi wa chama na mali kwa ujumla.

Haya matukio yanaibua hisia kali sana kwenye jamii, hayavumiliki kabisa sio ya kupuuzia hata kidogo. Kuna kila sababu ya CCM kupeleka Green guards wao kulinda viongozi wao na mali kule wilayani kibi na Rufiji, wakati huo huo polisi wakiendelea na operations mbali mbali kuwasaka wahalifu katika maeneo mbalimbali.

Viongozi wa CCM lifikirieni na hili msikae tu kimya kufuatia matukio kama haya.
Kazi mojawapo na muhimu kwenye vikundi vya ulinzi ndani ya taasisi za vyama vya siasa ni kulinda viongozi wa chama na mali kwa ujumla.

Haya matukio yanaibua hisia kali sana kwenye jamii, hayavumiliki kabisa sio ya kupuuzia hata kidogo. Kuna kila sababu ya CCM kupeleka Green guards wao kulinda viongozi wao na mali kule wilayani kibi na Rufiji, wakati huo huo polisi wakiendelea na operations mbali mbali kuwasaka wahalifu katika maeneo mbalimbali.

Viongozi wa CCM lifikirieni na hili msikae tu kimya kufuatia matukio kama haya.
Hahahah we jamaa unawatakia mema hao green guard? au unataka waishe
 
Wananchi wa Kibiti wa ajabu sana waliposikia Operation delete CCM wao wakadhani ni kwa njia hiyo, duh!
 
Haraka sana waeleweshwe "delete ccm" maana take LA sivyo wataisha huko!
Inawezekana hawakuelewa, kwani uelewa wa kila mtu ni tofaouti. Lakini chanzo cha matukio haya kitafutwe haraka
 
Cha kushangaza CCM wao wamekaa kimya huwezi sikia viongoz wao wakilaani mauji ya viCCM vidogo vidogo vinavyouliwa Apa kuna mashaka unaweza kuta ni aina mpya ya kuwapunguza wanachama ambao sio [HASHTAG]#Loyal[/HASHTAG]
 
Kazi mojawapo na muhimu kwenye vikundi vya ulinzi ndani ya taasisi za vyama vya siasa ni kulinda viongozi wa chama na mali kwa ujumla.

Haya matukio yanaibua hisia kali sana kwenye jamii, hayavumiliki kabisa sio ya kupuuzia hata kidogo. Kuna kila sababu ya CCM kupeleka Green guards wao kulinda viongozi wao na mali kule wilayani kibi na Rufiji, wakati huo huo polisi wakiendelea na operations mbali mbali kuwasaka wahalifu katika maeneo mbalimbali.

Viongozi wa CCM lifikirieni na hili msikae tu kimya kufuatia matukio kama haya.
Green guard kazi yao kubwa ni kuua wapinzani , si kulinda viongozi , mfano huu hapa .
TMPDOODLE1495125349909.jpg
 
Back
Top Bottom