youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Ndugu Mtanzania,
Usidanganyike hata kidogo.
Mabadiliko, Ni kaulimbiu iliyoanza kutumiwa tangu mwanzo wa kampeni za UKAWA, lakini imeanza kutumika vibaya na chama tawala [CCM] na wameibadilisha au kuiongeza chumvi eti mabadiliko ya kweli.
Sasa tujiulize je, si hawa wanaojitapa kila siku kuwa CCM ni ile ile?
Je, kaulimbiu yao si hapa kazi tu kwanini watumie mabadiliko ya kweli?
Kama mabadiliko ya katiba wameshindwa je, wataleta mabadiliko yapi? au badala ya twiga kupanda ndege sasa atapanda Bus?
Je, kati ya CCM na CHADEMA ni nani alikuwa wakwanza kudai mabadiliko? huyo ndo mwenye mabadiliko haswa maana ilikuwa ni dhamira yake kufanya mabadiliko lakini CCM wamesukumwa na nguvu ya wananchi ndio wanaodai mabadiliko.
Ni lazima tuwe wepesi wa kufikiri, hivi kweli Magufuli nae ni wakudai mabadiliko leo hii? ahahahahaa hata kama ndio watanzania ni malofa lakini bado hatujafikiwa kiwango hiki.
Mungu Ibariki Tanzania.
youngsharo
Usidanganyike hata kidogo.
Mabadiliko, Ni kaulimbiu iliyoanza kutumiwa tangu mwanzo wa kampeni za UKAWA, lakini imeanza kutumika vibaya na chama tawala [CCM] na wameibadilisha au kuiongeza chumvi eti mabadiliko ya kweli.
Sasa tujiulize je, si hawa wanaojitapa kila siku kuwa CCM ni ile ile?
Je, kaulimbiu yao si hapa kazi tu kwanini watumie mabadiliko ya kweli?
Kama mabadiliko ya katiba wameshindwa je, wataleta mabadiliko yapi? au badala ya twiga kupanda ndege sasa atapanda Bus?
Je, kati ya CCM na CHADEMA ni nani alikuwa wakwanza kudai mabadiliko? huyo ndo mwenye mabadiliko haswa maana ilikuwa ni dhamira yake kufanya mabadiliko lakini CCM wamesukumwa na nguvu ya wananchi ndio wanaodai mabadiliko.
Ni lazima tuwe wepesi wa kufikiri, hivi kweli Magufuli nae ni wakudai mabadiliko leo hii? ahahahahaa hata kama ndio watanzania ni malofa lakini bado hatujafikiwa kiwango hiki.
Mungu Ibariki Tanzania.
youngsharo