CCM ni ma-genius wa Siasa!

Kiukweli ccm wako vizuri sana siutani hata kidogo.
 
Nina fikiri haujui kwanini ccm inatawala kwa miaka mingi.Hivyo inaoneka jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa siasa za hapa Tanzania.Elewa hivyi kuanzia leo.Ni rahisi sana kuwatawala watu wengi wasio na elimu.Elimu ndio msingi wakujitambua,hivyo basi wananzania waliowengi hawana elimu. Hawajitambui wanadanganyika kirahisi.Miaka 55 sasa tangu tupate uhuru bado vyuo vikuu havifiki hata kumi !!!!!!!.halafu unajidanganya kwamba ccm ina magenius wa siasa!!!! Wewe ni mmoja wao wasiojitambua au upo ccm kwa maslahi yako binafsi .Maranyingi huwa nafikiria serikali inafanya makusudi kutowekeza katika elimu ,hasa elimu ya juu ili iweze kututawala kwa miaka mingi. Serikali inatakiwa ijenge vyuo vikuu vingi kama inataka tanzania iendelee. Nina pendekeza kila bajeti ya mwaka kuwe na mioango ya kujenga chuo kikuu mkoa na mkoa. Serikali inatakiwa nguvu zake nyingi ielekeze katika elimu. Elimu ndio msingi wa kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…