Ccm na mfumo wa kifalme

Ccm na mfumo wa kifalme

RICH MAVOKO

Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
35
Reaction score
16
chama kilichojichokea na dhaifu cha mizigo almaalufu ccm kinaongozwa kwa kurithishana madaraka mithili ya enzi za machifu na hakuna nafasi kwa watoto wa maskini kupata madaraka.january makamba,vita kawawa,nape nnauye,ridhiwani kikwete,fredrick lowassa,hussen mwinyi na wengi wengi ni matokeo ya mfumo wa kifalme ndani ya chiziemu.ndani ya CHIZIEMU vijana hawana nafasi na yeyote anayehitji nafasi ndani ya chiziemu lazma awe fisadi.VIONGOZI WA CCM HURITHISHA WATOTO WAO,IKO WAPI NAFASI YA KIJANA CHIZIEMU??.babu yangu the late HENRY M. LIMIHAGATI aliuchukia mfumo huu wq kifalme.
 
Anayeshabikia CCM ujue anasubiri kurithishwa mikoba ndani ya CCM
 
gongo mbaya sana tangu muanze kutumia hiki kinywaji mmekuwa watu wa ajabu sana huko bavicha zitto hajawaacha salama na hamtabaki salama dhambi ya ubaguzi ni yenu daima.
 
Anayeshabikia CCM ujue anasubiri kurithishwa mikoba ndani ya CCM

mkuu kwani bavicha mnakosa nini siku hizi mbona wengi umekuwa vituko sana lakini yawezekana zitto kawavuruga sana.
 
chama kilichojichokea na dhaifu cha mizigo almaalufu ccm kinaongozwa kwa kurithishana madaraka mithili ya enzi za machifu na hakuna nafasi kwa watoto wa maskini kupata madaraka.january makamba,vita kawawa,nape nnauye,ridhiwani kikwete,fredrick lowassa,hussen mwinyi na wengi wengi ni matokeo ya mfumo wa kifalme ndani ya chiziemu.ndani ya CHIZIEMU vijana hawana nafasi na yeyote anayehitji nafasi ndani ya chiziemu lazma awe fisadi.VIONGOZI WA CCM HURITHISHA WATOTO WAO,IKO WAPI NAFASI YA KIJANA CHIZIEMU??.babu yangu the late HENRY M. LIMIHAGATI aliuchukia mfumo huu wq kifalme.

Vipi CHADEMA mbona nako yale yale? Kaangalie Mtei alimkabidhi nani chama.Hujui Mbowe kuwa kaoa mtoto wa mtei? Nenda kaangalie wabunge wa viti maalumu CHADEMA watu walivyowapa watoto zao na ndugu zao unaongelea usioyajua.
 
Back
Top Bottom