Ccm na hali ya kisiasa

Ccm na hali ya kisiasa

Joined
Jul 25, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Chama hiki kimeshika dora miaka mingi iliyopita, lakini kwa sasahivi kinaonekana kutopendwa na wananchi wengi kutokana na kukosekana kwa utawala bora unajenga haki na masilahi sawa kwa wote.Mi nishauri tu kwamba ccm na serikali yake ikae chini ijitadakari upya nin cha kufanya ilikurudisha hadhi ya chama vinginevyo kitapata pigo kubwa mwaka2015.
 
we kijana mbona ccm ilishakufa kitambo sana ! Kumbuka kuwa huwezi kumshauri marehemu , hawa waliobaki ni kama wanafagia nyumba ili cdm waingie !
 
Back
Top Bottom