CCM mnahofu nini mikutano ya kisiasa?

CCM mnahofu nini mikutano ya kisiasa?

Joined
May 4, 2013
Posts
27
Reaction score
22
Hivi karibuni mheshimiwa mkuu wa nchi amekataza mikutano ya vyama vya siasa hadi 2020. Sasa hebu tujiulize, katiba ambayo kwayo aliapa kuilinda inasemaje juu ya shughuli za vyama vya kisiasa? CCM wajitafakari wasiirudishe nchi ktk enzi za chama kushika hatamu!
 
wanataka waendelee kutawala peke yao ila wasijisumbue sana maana mwalimu jk lilimshinda sasa wakumbuke kuwa nchi kama yetu tegemezi na madeni lundo wajue kuna kitu IMF na word bank.hawa ukijifanya haufuati misingi ya demokrasia hawachelwi kuharibu ichumi mpaka wananchi wanachukia uongozi uliopo.
 
Mtu anahulka ya ubinafsi wa kuongea yeye tu ila wengine hapana, halafu anataka aombewe kwa Mungu!
 
That will never happen. Hakukuwa na mtubjeuri kama Farao. Lakini ukifika wakati alisalimu amri na kuwaacha Hutu wana wa israel wakaondoka kwenda mchi ya ahadi. Kulikuwa na li giant kama goliath lakini katoto kadogo sana ka Daud kalimmaliza . It is just a question of time Jehova atasema enough is enough. NA hapo ndipo hata zile nyumba zetu wslizojimilikisha zitakaporudi. Hats kama wamejenga mahekalu tutachukua tu. Waache wajicheleweshe tu kwa sababu wakati upo na uko jirani ambapo Roho wa Bwana atatufungulia mlango kwa sababu hivyo biblia inavyosema
 
Back
Top Bottom