CCM mkateni Makongoro Mahanga

CCM mkateni Makongoro Mahanga

shaka akuna

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
72
Reaction score
19
Huyu mbunge wa jimbo la Segerea,hafai kupitishwa tena na chama chenu....

Ameanza,
1:-hongo na kuhaidi pikipiki kwa vijana,eti uweke kiasi cha laki3 katika account ya benk(namba siwezi ziweka hapa) alafu anakupa pikipiki huku unaendelea kulipa taratibu,hii nayo ni hongo kama hongo nyingine

2:-ameanza kuwa honga wajumbe wanao toka Tabata kimanga,huku akisema yeye ni mafia(huo umafia anamaanisha nini)

3😛ia tumechoka tabata kuwa tunaambiea tunashida ya maji miaka nenda rudi,tumekuwa tunadharaulika na wakazi wamaeneo mengine kuwa tunashida ya maji,na hadi anachukuwa fomu tena tatizo la maji tabata bado lipo,hii inamaanisha kuwa ajatuwakilisha vilivyo,AKATWE TU

4:-kwa wale wanao ishi/kupajua tabata kimanga,kunatatizo sugu la barabara kuwa mbovu,hali iliyo pelekea daladala kugoma kufika kimanga mwisho mwaka jana,na hadi naandika mda huu tatizo bado lipo na huyu jamaa anataka awamu hii tumchaguwe ahahahhahah yangu macho,

5:-kama mmeweza watumia takukuru katika harakati zenu za kumpata Pombe magufuri vivyo hivyo hebu watumieni kumfatiria huyu jamaa mana ananuka rushwa.....

MWISHO:-""nichagueni mie kuwa mbunge wenu ili mpate bahati ya kupata tena kutowa waziri......""
Eti ndio anapiga kampeni ya ndani ya chama.

MSIPO MKATA NYIYE WENYEWE BASI WANA SEGEREA WATAMKATA.
 
Katika wezi wa kula ambao hata mh rais km uwa anaiba na mamlaka zake zote HAWAWEZI KUMFIKIA HUYO JAMAA...
 
Una lalamika nn ccm wote ....wanagawa mpunga ..umezidiwa tu pole
 
Huyo alikuwa anatamba hela yake ndiyo ilimpa ubunge. Yupo na jamaa zake wasiokuwa na akili kama yeye kina Jamal wanafanya mazoezi hapo uwanjani Kimanga Primary. Hovyo sana huyo Mahanga
 
Una lalamika nn ccm wote ....wanagawa mpunga ..umezidiwa tu pole

Ivi unamjuwa kwl anaye lalamika......au unahisi kilaa anaye post ishu ya CCM ni mwana CCM hahahaha,
Mwaka huu tutawanyoosha tu.
 
Mahanga ni janga la wana jimbo segerea tumkatae kama tumkataavyo filauni
 
Huyo na ccm yake mwisho october.
Watasahaulika kabisa.
 
Pesa huu ndio wakati wa kutumika.
 
MAHANGA HUYU anaejivuta kukamilisha daraja la majumba 6 na kipande kidogo cha barabara ili kifike hadi OKTOBA ajinadishe nacho MACHALEE KUNDESAAAA lazima awajibishwe,mwenye kujua maendeleo aliyoleta tangu awe mbunge tafadhari tuorodheshe hapa.
 
nipo kimanga na kura yangu hapati kumbafuuuu last week alikuwa mahakama bar kagawa 30000 kwa wajumbe juzi kaitisha tena kikao cha ukumbi wa ndani.... ctak hata kuliona likauze bia pale nyantare
 
TAHATIFA YA UHAKIKA IlIYO NIFIKIA
Makongoro mahanga asha katwa na aliye pita ni mmama kugombea jimbo la segerea,
Haya sasa kazi ndy imeanza aduwi wetu wa kwanza kasha KATWA bado zamu yetu sisi wananchi KUKATA PIA
 
nipo kimanga na kura yangu hapati kumbafuuuu last week alikuwa mahakama bar kagawa 30000 kwa wajumbe juzi kaitisha tena kikao cha ukumbi wa ndani.... ctak hata kuliona likauze bia pale nyantare

Washa mkata huyo......bado na sisi kukata tuuu,lazima wanyooke wajuwe kutofautisha KUTUMIKIA TUMBO NA KUTUMIKIA WANANCHI
 
Back
Top Bottom