kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Tangu ccm wameanza kampeni sijasikia wakisema mafanikio ya marehemu mzee sumari aliyofanya akiwa mbunge wa arumeru mashariki.ila na sikia majungu tuu na kujisifia wao ndio wenye serikali ndio wanaopaswa kuchaguliwa.kama sendeka anaacha jimbo lake lina matatizo kibao ya maji,afya, ajira nk. Yeye akishapewa mchanga tanzanite basi ameridhi ajali wapiga kura wake.mpka ifike 2015 awape nyama wampe kura.