Hii ilifanyika toka jana(jumamosi) ila umeme ulikatika nikashindwa kuwaletea taarifa kutokana na desktop yangu kuzima. Mwenyekiti aliyechaguliwa ni Fransis Chaula, mwenezi ni Tito Sovela na mjumbe wa mkutano mkuu ni Onna Nkwama(aliwahi kuwa mwenyekiti wa council,akapigwa chini udiwani kwa kashfa za matumizi mabaya ya mali za umma). Kama kawaida ya siasa, majungu ya hapa na pale yalikuwepo kiasi cha kufanya wajumbe wabaki bila msimamo wa kueleweka. Source ni mimi mwenyewe.
watu hawafi siku hizi, wako stable na arvs. Ukienda hospital hukuti mtu aliyezidiwa kama miaka ya nyuma. Wote wako mashambani na maofisini wanafanya kazi. Ukienda ikonda unakutana na waliotoka nje ya wilaya wakizidiwa ndo wanakuja ikonda. Siku hizi huku hata zile ngo za kuelimisha kuhusu ukimwi zimekosa wateja
ya kuitana wezi,malaya, anatembea na wake za watu nk. In fact hao wote waliopita wawili ni la saba, mmoja alipeperusha bendera 7 f4. Kawaida ya mtu asiye na elimu huwa ni majungu ya reja reja kama alivyofanya jk 2005
ya kuitana wezi,malaya, anatembea na wake za watu nk. In fact hao wote waliopita wawili ni la saba, mmoja alipeperusha bendera 7 f4. Kawaida ya mtu asiye na elimu huwa ni majungu ya reja reja kama alivyofanya jk 2005
vavene lokholo. Avakghojo khono vavapelye ekhyama avademi va mumitatawa. Valyaji vanonu lweli va ndalama. Ngoja chama chao kife ili wananchi waanze kupata maendeleo. Ila ninachosikitika huku vijana hawajachangamkia mabadiliko.