Kwa maoni yangu sehemu ilokosewa ni kutumia muda mwingi kumuongelea Lowa na pia kutowaeleza wananchi ahadi za 2010-2015 ni zipi zimetekelezwa; zipi kwenye hatua ya utekelezaji na zipi zitaendelea ktk kipindi cha 2015-2020.
Wenzangu wakaandaa walichoandaa. Ukimtizama jamaa pamoja na mambo mengine ni rahisi sana kueleweka hata kwa mtu wa kijijini. Yaani ni elimu bure mpaka chuo kikuu. Wapi fedha zitatoka; sirikali mwaka jana imesamehe 1.4trn kama msamaha wa kodi.
Mi ninawaomba wanipe 1trn biashara ya elimu bure nimemaliza
Wewe hueleweki mara unajipambanua kama CCM mara unageuka na kuwasema kama outsider.Kwa hadhi ya mzee Mkapa na hapa namwita mzee sio ati kwa vijisenti vyake bali hakika kiumri ni mzee, unapomsikia akitukana tena wakati anajua wazi kuwa dunia nzima inamwangalia na kumsikia, naona ccm tumekwisha. CCM wameona kuwa hawana tumaini hivyo wakaamua angalao, tushibe matusi tu.
Ndo maana hata yule mjukuu wa mkapa alipopewa nafasi ya kuwatukana babu zake, Magufuli alimpigia makofi. Sera ya matusi sijui inaleta maendeleo gani au inawasaidiaje vijana wetu waliokata tamaa na kuamua kubwia unga na kuwa makontena. This is a shame to this nation.
Naomba msamaha kwa niliyemwudhi
Wewe hueleweki mara unajipambanua kama CCM mara unageuka na kuwasema kama outsider.
Hapo umegonga penyewe mkuu. Chief strategist wa kampeni za ccm ni hopeless sijapata kuona. Haya unayoyasema yalipaswa kuwa kwenye mabango yao nchi nzima.
Cha ajabu mabango yao yamejaa picha za mtu (ambaye hata ndevu hakunyoa kabla ya kupigwa picha) as is ccm haijawahi kuwa madarakani na hakuna ilichofanya kwa miaka 54.
Mnatuwekea mabango mpaka chooni na hayana content yeyote halafu mnatuambia hamna pesa za madawati,maabara na madawa? Ni mwendawazimu pekee ndio anaweza kufanya haya. Na kwa hili nimewachukia zaidi ccm.
Hapo umegonga penyewe mkuu. Chief strategist wa kampeni za ccm ni hopeless sijapata kuona. Haya unayoyasema yalipaswa kuwa kwenye mabango yao nchi nzima.
Cha ajabu mabango yao yamejaa picha za mtu (ambaye hata ndevu hakunyoa kabla ya kupigwa picha) as is ccm haijawahi kuwa madarakani na hakuna ilichofanya kwa miaka 54.
Mnatuwekea mabango mpaka chooni na hayana content yeyote halafu mnatuambia hamna pesa za madawati,maabara na madawa? Ni mwendawazimu pekee ndio anaweza kufanya haya. Na kwa hili nimewachukia zaidi ccm.
Wewe hueleweki mara unajipambanua kama CCM mara unageuka na kuwasema kama outsider.
"Mwanaume unataka mabadiliko?. Kabebe mimba"-Mkapa
"Mwanaume unataka mabadiliko?. Kabebe mimba"-Mkapa