Hata mimi Nimeiona Hii Propaganda ya StarTV, Nadhani Hii Haikubaliki Na Wengi Watapiga Kelele Wakiiona.
Hizi Kampaign za StarTV, Si Sahihi Kwa Mgombea wa UKAWA Mh.Lowassa; Hata Kama Mnatafuta Kuugwa Mkono Na Wapiga Kura Hili
Nadhani Wengi Watapiga.Kuna Picha za Mh. Lowassa Kipindi Alipokuwa Anatoa Misaada Misikitini,Makanisani na Kwenye Makundi Maalum;
Basi Wametoa StarTV Wametoa Clips Nyingi za Mh. Lowassa Na Kuziunganisha na Hotuba za Mwl. Nyerere.Kuhusu Kutoa fedha.
Naona Kama Hii Itaruhusiwa Basi Ni Hatari tupu.Sijazipenda Propaganda za StarTV, Wamewamia Watu Wameona Hawana Impact
Sasa Hii Nadhani Watazamaiji Wapenda Mabadiriko Wataikacha Hii TV. Hii Inafanana Na Propaganda za 1995 Wakati wa Mgombea Urais
Mrema Kuhusu Picha/Sinema ya Wanyarwanda yenye lengo la Kuwatia Hofu Watanzania Wasiwachague Wawapendao.