CCM kufutwa

Landala

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
997
Reaction score
483
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa ameamua kukifuta chama cha mapinduzi kutokana na chama hicho kukumbwa na mgogoro wa ndani uliosababisha amani kutoweka ndani ya chama hicho.Haya wapenzi na wanachama wa CCM tafuteni chama cha kuamia baada ya chama chenu kufutwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…