CCM kinajitangaza utadhani ni chama kipya

CCM kinajitangaza utadhani ni chama kipya

MORE2015

Senior Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
179
Reaction score
67
Kama ushindi unatokana na kuwa na mabango mengi basi ccm tayaria wameshinda. Maaana kila kona tangazo. Chama kimekaa madaraki miaka yote hiyo lakini kinajitangaza kama chama kipya. Tangazo Moja tuu la lowassa linameza matangazo 100 ya magufuli.
Hii inaonyesha wazi kabisa kuwa magufuli hakubaliki na chama kimepoteza dira.
 
Ccm wana roho ngumu sana hawataki kuhukubali ukweli
 
Hivi kwann ccm ukiwauliza wanawaahidi nn watanzania wanasema magufuli jembe
 
Maendeleo ya teknologia ni sehemu ya mabadiliko na haya yanachangia mno kuzika chama kizee.
 
jamani sasa hv ni chagua magufuli neno chagua ccm 2melipumzisha kwa mda mpaka uchaguz upite 2naomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
 
Wanamlalamikia lowasa toka hiyo mwaka 95 walikuwa nae watueleze walichukua hatua gani mpaka leo tuamini ni mbovu...kama sio maneno ya mkosaji hayo
 
jamani sasa hv ni chagua magufuli neno chagua ccm 2melipumzisha kwa mda mpaka uchaguz upite 2naomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza

Bado hamjajua tatizo liko wapi watanzania hawana shida na magufuli wana tatizo na Ccm inamaana akianzisha chama chake atapita kwa kishindo sio Ccm
 
Baada ya Mafisadi na wezi kukihama. Hakika CCM ni chama kipya sasa. Hakina hata miezi miwili
 
Asiejua Buddhas za Azam ni nan ,mbna kla siku matangaxo yke hurushwa,chama kinafanyiwa re-branding baada ya mafisadi papa kukimbia,,matangaxo lazma yawepo
 
jamani sasa hv ni chagua magufuli neno chagua ccm 2melipumzisha kwa mda mpaka uchaguz upite 2naomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza

Pokea like 😂😂😂😂😂😂
 
Baada ya Mafisadi na wezi kukihama. Hakika CCM ni chama kipya sasa. Hakina hata miezi miwili
Teh teh teh teh! We jifanye chizi tu!

Kwahiyo CCM ilikuwa na mafisadi wangapi, na wametoka wangapi? waliobaki na waliotoka wapi wengi?

Huku UKAWA tunaye "fisadi" mmoja! Ambaye ndiye Rais ajaye! CCM tuelezeni Wale waliochota mabilioni ya XCROW nao pia wametoka?

Ngeleja, Anna Tibaijuka, Chenge etc...Hawa si bado ni majembe ya CCM?

Mwaka huu mmechambia mgomba!
 
Kama ushindi unatokana na kuwa na mabango mengi basi ccm tayaria wameshinda. Maaana kila kona tangazo. Chama kimekaa madaraki miaka yote hiyo lakini kinajitangaza kama chama kipya. Tangazo Moja tuu la lowassa linameza matangazo 100 ya magufuli.
Hii inaonyesha wazi kabisa kuwa magufuli hakubaliki na chama kimepoteza dira.[/QUOTE ] napita tu maana. .. .
 
Back
Top Bottom