CCM kimegeuka kuwa chama cha kikoloni

CCM kimegeuka kuwa chama cha kikoloni

Col FEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
327
Reaction score
460
Kwa wenye akili timamu na kuwa na dhamira ya kweli katika nafsi zao wataliona hili na kukubaliana na mimi.

(1) CCM ni chama hapo awali kilisaidia ukombozi wa Bara la Africa na Kuwa kimbilio la wanyonge wengi Duniani kwamfano walisadia Taifa China kupata ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa , pia imekuwa kwa muda wote wakiunga mkono Jitahada za Taifa la Palestine zidi ya uonevu wa Israel. Lakini sasa mambo yamegeuka , Palestina imewekwa kando na kukumbatiwa Israel , pia China tunaipotezea kwa mbali na kuishi nayo kinafki tu.

(2) CCM Tulilaani vikali ubaguzi wa rangi Pia tuliunga mkono ANC katika mapambano zidi Makaburu wa Afrika kusini lakini leo hii CCM imegeuka kuwa Makaburu wa Tanzania wakiwashughulikia vikali kila anayewapinga kwa nguvu zote.

Ukitaka kuwa adui wataifa la Tanzania Leo hii basi jaribu kuishauri au kuikosoa CCM na Serikali yake , kwa hakika cha moto na mtemakuni itakiona.

CCM sasa imeaamua kubadilika kuwa chama cha Kibaguzi , Uonevu na ubinafsi uliopitiliza kwa hakika hivi sasa CCM kimeamua kuiangamiza Taifa letu taratibu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA !
 
Kuishabikia ccm ni laana mbaya sana mkuu

Lakin hata chadema nayo haijatulia kwa kifupi inatakiwa tuwe na upinzan kama wa uganda au msumbiji siyo huu wa kwetu umepoa sana
 
Kuishabikia ccm ni laana mbaya sana mkuu

Lakin hata chadema nayo haijatulia kwa kifupi inatakiwa tuwe na upinzan kama wa uganda au msumbiji siyo huu wa kwetu umepoa sana
Watanzania ndio tumepoa....hatubebeki.

Kutwa tunalaumu hali ngumu kimaisha.....tukiingia kwenye ballot box.....kijani.

Upuuzi
 
Kwa wenye akili timamu na kuwa na dhamira ya kweli katika nafsi zao wataliona hili na kukubaliana na mimi.

(1) CCM ni chama hapo awali kilisaidia ukombozi wa Bara la Africa na Kuwa kimbilio la wanyonge wengi Duniani kwamfano walisadia Taifa China kupata ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa , pia imekuwa kwa muda wote wakiunga mkono Jitahada za Taifa la Palestine zidi ya uonevu wa Israel. Lakini sasa mambo yamegeuka , Palestina imewekwa kando na kukumbatiwa Israel , pia China tunaipotezea kwa mbali na kuishi nayo kinafki tu.

(2) CCM Tulilaani vikali ubaguzi wa rangi Pia tuliunga mkono ANC katika mapambano zidi Makaburu wa Afrika kusini lakini leo hii CCM imegeuka kuwa Makaburu wa Tanzania wakiwashughulikia vikali kila anayewapinga kwa nguvu zote.

Ukitaka kuwa adui wataifa la Tanzania Leo hii basi jaribu kuishauri au kuikosoa CCM na Serikali yake , kwa hakika cha moto na mtemakuni itakiona.

CCM sasa imeaamua kubadilika kuwa chama cha Kibaguzi , Uonevu na ubinafsi uliopitiliza kwa hakika hivi sasa CCM kimeamua kuiangamiza Taifa letu taratibu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA !
Sio kweli acha kupotosha jamii
 
Mwambie mama yako aanzishe chama
usipende sana kuwatukana mama wa wenzio, humu kila mtu ana mawazo na uelewa wake, siku humu mtu alikuwa anauza simu yake ukamwambie akamuuzie mama yake leo tena unamwambia mtu mwingine amwambie mama yake aanzishe chama, binadamu sisi tumeumbiwa busara na hekima, jitahid kuuficha upumbavu wako japo kidogo, kama mama yako amekufa usimalizie hasira kwa mama wa wenzako pumbavu kabisa
 
Kwa wenye akili timamu na kuwa na dhamira ya kweli katika nafsi zao wataliona hili na kukubaliana na mimi.

(1) CCM ni chama hapo awali kilisaidia ukombozi wa Bara la Africa na Kuwa kimbilio la wanyonge wengi Duniani kwamfano walisadia Taifa China kupata ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa , pia imekuwa kwa muda wote wakiunga mkono Jitahada za Taifa la Palestine zidi ya uonevu wa Israel. Lakini sasa mambo yamegeuka , Palestina imewekwa kando na kukumbatiwa Israel , pia China tunaipotezea kwa mbali na kuishi nayo kinafki tu.

(2) CCM Tulilaani vikali ubaguzi wa rangi Pia tuliunga mkono ANC katika mapambano zidi Makaburu wa Afrika kusini lakini leo hii CCM imegeuka kuwa Makaburu wa Tanzania wakiwashughulikia vikali kila anayewapinga kwa nguvu zote.

Ukitaka kuwa adui wataifa la Tanzania Leo hii basi jaribu kuishauri au kuikosoa CCM na Serikali yake , kwa hakika cha moto na mtemakuni itakiona.

CCM sasa imeaamua kubadilika kuwa chama cha Kibaguzi , Uonevu na ubinafsi uliopitiliza kwa hakika hivi sasa CCM kimeamua kuiangamiza Taifa letu taratibu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA !
Sasa nin mbadara wa ccm?
 
Point yako ilikuwa nziri na hoja yako ina mashiko ila umekuja kuharibu mwishoni.
 
Kwa wenye akili timamu na kuwa na dhamira ya kweli katika nafsi zao wataliona hili na kukubaliana na mimi.

(1) CCM ni chama hapo awali kilisaidia ukombozi wa Bara la Africa na Kuwa kimbilio la wanyonge wengi Duniani kwamfano walisadia Taifa China kupata ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa , pia imekuwa kwa muda wote wakiunga mkono Jitahada za Taifa la Palestine zidi ya uonevu wa Israel. Lakini sasa mambo yamegeuka , Palestina imewekwa kando na kukumbatiwa Israel , pia China tunaipotezea kwa mbali na kuishi nayo kinafki tu.

(2) CCM Tulilaani vikali ubaguzi wa rangi Pia tuliunga mkono ANC katika mapambano zidi Makaburu wa Afrika kusini lakini leo hii CCM imegeuka kuwa Makaburu wa Tanzania wakiwashughulikia vikali kila anayewapinga kwa nguvu zote.

Ukitaka kuwa adui wataifa la Tanzania Leo hii basi jaribu kuishauri au kuikosoa CCM na Serikali yake , kwa hakika cha moto na mtemakuni itakiona.

CCM sasa imeaamua kubadilika kuwa chama cha Kibaguzi , Uonevu na ubinafsi uliopitiliza kwa hakika hivi sasa CCM kimeamua kuiangamiza Taifa letu taratibu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA !


wanaoshabikia ccm hawako tofauti na wale waliokuwa wakibeba magauni na suruali zao wakimuona Mugabe nishujaa.Miaka imeenda baadae wanajeshi waliokuwa wakiwasulubu wapinzani leo njaa zimewakamata wamegundua Taifa linaaanguka wakaingia kwa mtutu kumzuia urais asiendelee nao.Akina Nape,Polepole,na Akina Bashe wanajitapa na kuwaaambia wanachadema wapigwe kwa kuwa vipigo hivyo haviwafikii ndugu zao na nikupitia ccm bado wanaendelea kupata keki ya taifa ambayo ndio msingi wao wakuiona ccm ni nzuri huku kimantki wakitambua kuwa ccm imefeli
 
Wajanja na mayanki wanakimbilia ccm, we baki huko na akina safari baregu na lowasa.

cheo ndio kinachowapeleka huko ninatamani kuiona ccm ikifanya siasa na sikugeuka kuwa chama cha makaburu
 
wanaoshabikia ccm hawako tofauti na wale waliokuwa wakibeba magauni na suruali zao wakimuona Mugabe nishujaa.Miaka imeenda baadae wanajeshi waliokuwa wakiwasulubu wapinzani leo njaa zimewakamata wamegundua Taifa linaaanguka wakaingia kwa mtutu kumzuia urais asiendelee nao.Akina Nape,Polepole,na Akina Bashe wanajitapa na kuwaaambia wanachadema wapigwe kwa kuwa vipigo hivyo haviwafikii ndugu zao na nikupitia ccm bado wanaendelea kupata keki ya taifa ambayo ndio msingi wao wakuiona ccm ni nzuri huku kimantki wakitambua kuwa ccm imefeli
Sadaktaaa ....!
 
Sikutegemea Nape aseme hivyo. Sishangai kwa Bashe kwani wanaopigwa siyo wasomali.
Lazima hao walipata fununu kuwa karibu watashughulikiwa na mkuu. Nanjia kuu ya kupata cheo ccm siku hizi ni kupambana na chadema na upinzani. Jerry Muro tu hakufaulu kwani anatoka kanda
mbaya. Mungu aweke mkono wake. Kwa uwezo wake hakuna Lisilowezekana.
Wenye nia njema wote tufanye novena ya sala.ya siku saba Mola atuonyeshe njia. Tumepotea.
 
Back
Top Bottom