Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Kutuchamba kwote kule hadi kushika kiuno ndio matumaini yenyewe nini bwana Tibwa?
==============
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimesema Hotuba ya Rais Samia Kwa Wazee Imejaa Matumaini na Uzalendo huku kikitoa wito kwa viongozi kukemea vitendo vya uvunjifu wa amani, vinavyochochewa na baadhi ya watu kwenye maeneo mbalimbali na mitandao ya kijamii kwa kuwa amani ya Tanzania italindwa na watanzania wenyewe.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2025 Katibu Siasa Uenezi na mafunzo, Mkoa wa Kilimanjaro, Abraham Urio, amesema amani ya nchi inatakiwa kulindwa na kila mtu, kwa maslahi mapana ya Taifa.
==============
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimesema Hotuba ya Rais Samia Kwa Wazee Imejaa Matumaini na Uzalendo huku kikitoa wito kwa viongozi kukemea vitendo vya uvunjifu wa amani, vinavyochochewa na baadhi ya watu kwenye maeneo mbalimbali na mitandao ya kijamii kwa kuwa amani ya Tanzania italindwa na watanzania wenyewe.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2025 Katibu Siasa Uenezi na mafunzo, Mkoa wa Kilimanjaro, Abraham Urio, amesema amani ya nchi inatakiwa kulindwa na kila mtu, kwa maslahi mapana ya Taifa.