jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,781 Aug 23, 2015 #2 Yatakua yamepigwa ganzi hayo
Osena New Member Joined Aug 15, 2015 Posts 3 Reaction score 0 Aug 23, 2015 #3 Kazi ndo imehaza wadau bado upizani kujibu shambulizi kali sn kaheni teyari kwa milo mizuri na mibovu
Kazi ndo imehaza wadau bado upizani kujibu shambulizi kali sn kaheni teyari kwa milo mizuri na mibovu
A abdulraman Senior Member Joined Jul 31, 2015 Posts 150 Reaction score 20 Aug 23, 2015 #4 Ndo mwaona wivu kijana kupakata?
A abdulraman Senior Member Joined Jul 31, 2015 Posts 150 Reaction score 20 Aug 23, 2015 #5 Waacheni watu na starehe zao. Inahusuuu..? Wewe kama huna wa kupakata shauri yako.
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Aug 23, 2015 #6 Bora uzae kokoto, kuliko litoto linalosapoti CCM.
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Aug 23, 2015 #7 abdulraman said: Waacheni watu na starehe zao. Inahusuuu..? Wewe kama huna wa kupakata shauri yako. Click to expand... Nenda na wewe wakakupakate!
abdulraman said: Waacheni watu na starehe zao. Inahusuuu..? Wewe kama huna wa kupakata shauri yako. Click to expand... Nenda na wewe wakakupakate!
maneno2 Member Joined Jul 29, 2015 Posts 7 Reaction score 2 Aug 23, 2015 #8 Kkkkkkkk ccm nomer san😄😄😄😄😃
Hansss JF-Expert Member Joined Jul 17, 2015 Posts 2,370 Reaction score 2,726 Aug 23, 2015 #9 Mkuu vp kuhusu wazazi wako kukuzaa ww uliekulia unasapoti ccm c ni bora wao wangekuzaa ng*r*uwe sasa au vp kk, ww hupaswi kuandika hayo.
Mkuu vp kuhusu wazazi wako kukuzaa ww uliekulia unasapoti ccm c ni bora wao wangekuzaa ng*r*uwe sasa au vp kk, ww hupaswi kuandika hayo.
BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,257 Aug 24, 2015 #10 Osena said: Kazi ndo imehaza wadau bado upizani kujibu shambulizi kali sn kaheni teyari kwa milo mizuri na mibovu Click to expand... Aisee Inakuwaje sehemu unsyotakiwa kuandika 'a' unaandika 'h'? Uandishi wako ni mbovu kabisa!
Osena said: Kazi ndo imehaza wadau bado upizani kujibu shambulizi kali sn kaheni teyari kwa milo mizuri na mibovu Click to expand... Aisee Inakuwaje sehemu unsyotakiwa kuandika 'a' unaandika 'h'? Uandishi wako ni mbovu kabisa!
H hippocratessocrates JF-Expert Member Joined Jul 1, 2012 Posts 3,598 Reaction score 1,545 Aug 24, 2015 #11 Mimi kibaka na upumbavu wangu nitawasubiri Oktiba 25 na kichinjio changu.