loisaibulu
Member
- Mar 20, 2014
- 9
- 0
Hatujawa na chama cha upinzani chenye uwezo wa kuongoza taifa vyama vyote vilivyopo kwa sasa havijafika hatua hiyo kwa sasa.
Unauliza unachojua au unataka kujua zaidi nani hajui kuwa ccm ni chama pendwa kinachowakilisha watanzania wote bila ya ubaguzi.
Ccm itaongoza nchi hii milele