CCM irudishe sera ya Kuunga Juhudi

CCM irudishe sera ya Kuunga Juhudi

Ukisoma maoni ya Watanzania kwenye habari zinazowahusu mapandikizi ywnu ikiwemo huyo Msigwa aliyeenda CCM juzi utajua kuwa hizo siasa za kuwapumbaza Watanzania zimeshakataliwa Big time
 
Ukisoma maoni ya Watanzania kwenye habari zinazowahusu mapandikizi ywnu ikiwemo huyo Msigwa aliyeenda CCM juzi utajua kuwa hizo siasa za kuwapumbaza Watanzania zimeshakataliwa Big time
Msigwa na Lissu ni Chupi na Takori

Unasema nani Pandikizi?
 
Ile Sera ya Komredi Polepole ilikuwa imekaa kisayansi na kimkakati sana

Ilimaliza vurugu za vyama vya upinzani kabisa

Sabato njema 😁
Mbona waunga juhudi hata za utesajiutekajina hamasa uuwaji wapo akina timu Mushaaambaa.
 
Back
Top Bottom