Ccm inasaidia tu watu wafike kwenye mikutano

Ccm inasaidia tu watu wafike kwenye mikutano

Kijana2

Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
39
Reaction score
3
Nimekuwa nikifatilia ukarimu WA CHAMA tawala na niwapongeze KWA juhudi wanazoonyesha kipindi hiki CHA kampeni KWA kuwasaidia WATU kwenye kampeni......
Ila pasipo na Shaka ukarimu huu ungeonywesha katika uongoz wao LEO wananchi wasingeitaji MABADILIKO.....Ila KWA HAPA NI waz HUU NI USANII na uwongo WA hali YA juu
 

Attachments

  • IMG-20151004-WA0008.jpg
    IMG-20151004-WA0008.jpg
    145.2 KB · Views: 130
  • IMG-20151004-WA0007.jpg
    IMG-20151004-WA0007.jpg
    102.7 KB · Views: 116
  • IMG-20151004-WA0003.jpg
    IMG-20151004-WA0003.jpg
    142.5 KB · Views: 104
  • IMG-20151004-WA0006.jpg
    IMG-20151004-WA0006.jpg
    66.3 KB · Views: 116
Usipotaka kuelewa utaeleweshwa tu mwaka huu ni mabadiliko wao waende kwenye matamasha
 
ccm bila kusomba watu kwa malori na kujaza wasanii hakuna mkutano. ccm imechokaa
 
Back
Top Bottom