CCM inahaha uchaguzi serikali za mitaa Kigamboni

CCM inahaha uchaguzi serikali za mitaa Kigamboni

Joined
Nov 23, 2012
Posts
20
Reaction score
5
Hali ya hewa mbaya kwa chama cha mapinduzi kata ya kigamboni hasa katika mtaa wa ferry hii ni baada ya kutokea mpasuko mkubwa baiana ya wagombea walioshindwa kwa kura ya maoni ndani CCM. upande wa pili wa walioshinda unaongozwa na kuratibiwa na diwani wa kata ya kigamboni cha kushangaza nguvu zote wameelekeza katika mtaa wa ferry chini ya mgombea Juma Mengamno huku akipambana na nguvu ya umma yaani (UKAWA) chini ya mgombea makini bwana Hadelyn anayeonekana kukubaliwa na na rika zote vijana kwa wazee ukawa wameapaa kushinda katika kinyang'anyiro hicho

wenu katika nguvu ya umma
Mr.Hamis Kasim
 
Back
Top Bottom