2kimo nilidhani kwa elimu yako ungeelewa kuwa Rais anamchango mkubwa kubuni mbinu za kuinua uchumi!!
Mfano Rwanda, Kenya, Ethiopia,Korea, Malesia, ziko nyingi ambazo sera nzuri za kiuchumi nchi zimeinuka!!
Hasa ukianza na elimu mengine yanafuata!!
Usikurupuke bila kufikiri, ukijenga viwanda vingi watu wako watakuwa vibarua, wataalamu wote watatoka nje ya nchi, Rwanda IT, Kenya Management, Uganda engineers !!
Maandalizi muhimu hata kwenye kilimo, madini, gessi, mafuta nyukria e t c!!
Elimu first priority, mengine yatapangika kuondoa umasikini!!
Urais sio pushups ni brains ili tukwamuke!!
Chagua UKAWA CHAGUA LOWASA KUONDOA UMASIKINI TANZANIA!!