mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 251
Mkuu unataka uthibitishiwe ili iweje? Lema alithibitisha kwamba waziri mkuu kasema uwongo mpaka sasa hakuna jipya..binafsi acha ccm wampeleke yeyote wanaeona anawafaa wao...ila watarajie kuburuzwa na cdm mpaka kieleweke mkuu...unajua kilichomtoa kule BOT?
<br /><font color="#ff0000"><font size="4">GAMBA KUU LA UFISADI CCM IGUNGA (GWIJI ROSTAM AZIZ) KIPEKEE LITABANDULIWA TU NA <br />
MBUNGE WA PAMOJA TOKA KAMBI YA UPINZANI NCHINI!!</font> </font><br />
<font color="#000080"><b><font size="3"><br />
Mama yangu, mbona kwa CCM miti yote yateleza kiasi hiki kwa kila wakitendacho?? <br />
<br />
Ni vema ikaeleweka kwa kila mtu kwamba anguko la Gwinji wa Ufisadi nchini, Rostam Aziz, ni USHINDI kwa wanaharakati wooote ndani na nje ya nchi. <br />
<br />
Hakika baada ya kuteseka sana na maisha magumu balaa ulisbabishwa na mafisadi wachache nchini, vijana hili ni FUNDISHO TOSHA kwetu kutokufanya ajizi Tabora. <br />
<br />
Ni kweli kabisa kwamba WALAZWAHOI tunalo jukumu la kipekee kabisa la kutoweshwa kwake kabisa katika ramani ya siasa za nchi yetu ni jukumu la kila mmoja wetu ili kujihakikishia kwamba taifa letu Tanzania LINAZALIWA upya bila kuchukuliwa MATEKA tena wa huyu mtu, chama chake na au maslahi za nchi za nje anazoonekana kuziwakilisha katika nchi yetu. <br />
<br />
Ndio, nasema kwamba ni jukumu la kila mpiga kura nchini, mpenda haki, mwanaharakati, mwandishi wa habari na akina kabwela tunaolazwa hoi na vituko vya huyu baba, kuhakikisha kwamba JUHUDI ZA KUNG'OA UFISADI NA MIZIZI YAKE YOTE ni sharti ianzie Igunga na kuenea kila kona ya taifa hili.<br />
<br />
Kwa mshangao wa kila mmoja wetu jinsi ambavyo CCM kisivyokua na USO WA AIBU JUU YA UFISADI WA ROSTAM AZIZ bila kufikishwa katika mahakama yoyote nchini sasa tena waanza kupanga kupeleka MAKAPI na kulilazimisha kinywani mwao wananchi wa Igunga baada ya kuchukuliwa mateka kwa miaka mingi kwa nguvu za fedha za ufisadi.<br />
<br />
Angalieni; mbali na Februari Makama kuwa ni miongoni mwa wabunge maarufu kwa DOSARI DONDA DUGU kuwahi kupitishwa kupitia MLANGO WA NYUMA na kisha KUJISHANGALIA MWENYEWE JINSI GANI ALIVYOWEZA KUTUA mjengoni Dodoma, hivi kweli WAADILIFU wote ndio hivo wameadimika ndani ya Chama hiki kiasi hicho kiasi cha CCM kuanza kuwazia kutuma JAMBAZi WA kule BoT, Mwigulu Nchemba, kwenda Igunga kuongoza safu ya kupatika MBUNGE WA WANANCHI atakayechukua nafasi ya aliyekua MBUNGE TX MWAKILISHI wa Maslahi ya Uajemi nchini ambaye pia anasadikiwa kuwa ni GAMBA KUU la Chama Cha Mapinduzi???????<br />
<br />
Sasa ndugu zangu, kwa kuzingatia busara za usemi wa siku nyingi kati yetu kuwa 'Mtoto wa Nyoka ni Nyoka, je safu ya uchaguzi mdogo Igunga itakapongozwa ama na hili Jambazi letu la BoT ambaye bado kajinunulia fursa ya kuvinjari ovyo tu mitaani badala ya kule Keko au tusema kwamba itaongozwa na 'MBUNGE BLACK-MARKET' wa NEC kama ambavyo alivyo huyu dogo Februari Makamba; Watanzania TUTEGEMEE kuzaliwa kwa Mbunge wa aina gani Igunga?? <br />
<br />
Je, lengo letu kama taifa kulibandua Gamba Kuu la CCM, Rostam Aziz kwa kuweka Mbunge wa Wananchi kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi ya kuchukuliwa MATEKA wa Uajemi utakua umekidhikika kweli hadi hapo???<br />
<br />
Baada ya yote, kutokana na majumuisho ya hapo juu na mengine mengi watakayoandika wenzangu humu, sasa nadiriki kusema chonde waheshimiwa Dr Slaa, Mwana Anga wa ukweli Mhe Freeman Mbowe, Vijana wa ukweli Zitto Kabwe, Julius Mtatiro na John Mnyika, James Mbatia, Kamanda Gobless Lema (Katapila), Simba wa Vita Tundu Lissu, Mwenyekiti wetu BAVICHA, nawaombeni sana tena sana KUONYESHA MSHIKAMANO WA KI-UPIGANAJI kwa Maslahi yetu sisi Walazwa Hoi kwa kumpitisha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kuchukua kiti hiki cha uwakilishi bungeni. <br />
<br />
Kwa kusema ukweli ninayo imani kubwa sana kwamba hili linawezekana sana tu kwenu kama ambavyo na sisi Machalii Wapiga kura nchini tunavyoiombea dua hivi sasa.<br />
</font></b></font>
Ndiyo maana hapo kuna neno ""My take", na si lazima my take (nataka kuamini kwamba English si tatizo kwako) iwe sawa na yako na wengine. Ndiyo maana ya jukwaaa hili kubadilishana mawazo kwa hoja<br />
<br />
Unaleta mada then unijibu mwenyewe so una maana gani kama unajua huyo anafaa?
Nani anafaa kuongoza kampeni za CCM Igunga kati ya January Makamba na Mwigulu Nchemba?
My take: January ni mtu makii na smart lakini ana damu ya kunguni ya kuchukiwa tu bila sababu za msingi hivyo si sahihi kwa chama kumpeleka Igunga. Mwigulu ni very smart na machachari na hana kashfa yoyote, anaweza kukisadia sana chama chake huko Igunga.
<br />
<br />
kote umenewa vizuri ila kwa Lipumba ndo umeharibu. Hatuwezi toa CCM A tukaweka CCM B. Haiwezekani.
Mkuu unataka uthibitishiwe ili iweje? Lema alithibitisha kwamba waziri mkuu kasema uwongo mpaka sasa hakuna jipya..binafsi acha ccm wampeleke yeyote wanaeona anawafaa wao...ila watarajie kuburuzwa na cdm mpaka kieleweke mkuu...
Masharobaro na wacheza viduku wataongoza kampeni za CcM Igunga (sijui capt. Awekwe kundi gani kati ya hayo), anaebisha na aseme sasa
Haya mambo ya kukurupuka kujifanya mnawajua watu,, yanakera sana. Nataka nikwambie kwamba pale Iramba kulikuwa na wagombea 10,, huyu Mwigulu ndo peke yake hata gari alikuwa hana, alikuwa chokest anakuja na mabasi na kukodi ka taxi hata A/C hakana,, halafu leo unakaa unawadanganaya watu humu........shame upon you!!Mkuu Emils,
Mwanzisha thread (Salimia) hakuwa na background ya Mwigulu ndiyo maana alikuwa ana bweka kwa kumpigia upatu akashike mikoba ya kumpigia mgombea wa ccm kampeni. lakini tunamfahamu vizuri yule jamaa ni Fisadi mzuri tu. hata sakata la kwenda kugombea kule Iramba, alitumia weakness ya wapiga kura wa kule akawawezesha kidogo, kuanzia kwenye kura ya maoni alimwaga pesa nyingi sana.
Nani anafaa kuongoza kampeni za CCM Igunga kati ya January Makamba na Mwigulu Nchemba?
My take: January ni mtu makii na smart lakini ana damu ya kunguni ya kuchukiwa tu bila sababu za msingi hivyo si sahihi kwa chama kumpeleka Igunga. Mwigulu ni very smart na machachari na hana kashfa "yoyote", anaweza kukisadia sana chama chake huko Igunga.
Ni mtu wakawaida tegeta basihaya hucheza mpira na watu wa kawaida. Ukweli huwa una kawaida moja huwa haulazimishi mtu uukubali ila huwa unajitenga tu na kuonekana. Labda mwnye story tofauti na hii na aseme hakuwa wa kwanza primary, sekondary , degree ya kwanza na ya pili na hakuwa kiongozi anayevutia hisia ngazi hizi ajitokeze aseme. Tutangangania wazee slaa slaa na kupuza vijana wetu kifo huwa hakichagui lakini mambo yakiwa constant wazee watangulia istoshe slaa ana kansa ya mkojo kwa nini hatuwatathimini sahihi vijana kwa ajili ya taifa letu. Fuatilieni mtakuja kuniambia.
Mitihani yako ulifaulu kwa kujibu maswali ulitunga mwenye nini nyambala mbona umejibu kitu kingine? Nilipoona new post niliikimbilia nikidhani umemjibu jamaa kwa kutoa cv ya tofaut kumbe blaablaa ndio na nape mnamchukia hivihivi ukiulizwa hasa kwa nini unamchukia sababu hamna.kweli serkali ifunge madanguro inawezekana nyambara hata kazini unakwenda na hangover hizo. Au wewe ni mke wa slaa imekuudhi kusikia hawa vijana inawezekana ni bora kuliko mmeo?
ni kweli mkuu, wakitaka kujaza watu kwenye mikutano wafanye hivyo - pia wasisahau kuwapa ulaji pia ze comedy kina Joti. Pia bado napata kigugumizi kujua ni nani msafi ndani ya CCM atakayeongoza mapambano ya kulikomboa jimbo? CCM ina kazi kubwa sana kwa sasa kwenye ukweli lazima tuseme.