Hoho
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 320
- 83
CCM Igunga imekuwa na kitendawili kigumu sana ambapo haijulikani ni nani ataweza kukiteguwa, ni baadaya jana mkutano wa hadhara kuwapa jibu ni kiyasigani wanapendeka kwa wapigakura wake, walipogoma kujitokeza kusikiliza hotuba yao na atimaye kuhutubiya watu wachache kulinganisha na miyaka yote tulivyoizoeya kama chama chenye madaraka, chakusikitisha ni pale walipo wa tangaziya wanachi kuwa mgeni rasmi atakuwa M/kiti wa (UWT) ccm na Waziri wa Jamii,jinsia na Watoto, Sophia Simba.
Jana hakuweza kuji tokeza akiogopa aibu iliojitoza hapo uwanjani, Ushauri wangu kwao wasisumbuke kugawa kanga na tisheti tena badala yake hizo fedha wawachimbie visima vyamaji wapigakurawa wake.
CCM kwisha kwisha kwishakabisa Igunga anayebisha aje ajionee mwenyewe.
Jana hakuweza kuji tokeza akiogopa aibu iliojitoza hapo uwanjani, Ushauri wangu kwao wasisumbuke kugawa kanga na tisheti tena badala yake hizo fedha wawachimbie visima vyamaji wapigakurawa wake.
CCM kwisha kwisha kwishakabisa Igunga anayebisha aje ajionee mwenyewe.