Baada ya October tuwekeane Marufuku mtu asituletee Ngonjera za 2010 kuwa Mlishinda ila kura ndo zimeibiwa na kuchakachuliwa. Miaka Minne iliyopita mlisema Slaa alishinda ila aliibiwa kura leo 2015 Mnasema alipata kura 2.2 M hivo hana ubavu wa kuitoa CCM