CCM hali tete,NEC ni tegemeo

Mleta mada amekula maharage ameharibikiwa tumbo
 
Naona kama Aggrey Mwandri nyota yake inachomoza kwa mbali vile!:becky:
 
DAH!! MKUUU!! yaani umegusa penyewe kabisaa yani kama utadhani upo nao mnapanga yote haya lkn unavyootea na ndio hali halisia kabisaa ilivyo ndani ya hili dude lenu CCM. halina tofauti na KASA MZEE naiona tamati yake hiyooooo inasongesha. sasa sijui tuizike au tuichinjilie baharini
 
Hahahahahahaha eeeeh

Atatulipa nini kwa nafasi kubwa ya heshima kama hii?? Napendekeza ajenge fly overs zote Dsm wala si ilie ya Tazara tu. Halafu angalau anunue meli ya moja ya ziwa Victoria.
 
Hiii mijizi ikidhibitiwa tu kwenye wizi Wa kura tu basi itasambaratika mchana kweeeeupee
 
Acha ccm wagaragazane tu wenyewe kwa wenyewe ni furaha kwetu kwani tushawachoka hao
 
Uwiiiiiiiii, Tembo kwisha kabisa sasa!
 
Labda wampitishe Doctor John Pombe Magufuri ndie hana skendo
 
Tunahitaji vitu vinne:

Watu. (Tunao)

Ardhi (Tunayo)

Ila je?

Uongozi bora?

Siasa safi?
 
Badilisha hata neno mkuu, kila siku maneno hayohayo tu au ndivyo mlivyokaririshwa Lumumba.....

Akibadilisha hilo neno anahamia kwenye kiitikio cha Slaa ni padri, mzinzi nk. cdm ni wakanda, wadini nk.
 
CCM kubebana na kukumbatia mafisadi ndo kunaipeleka kaburini.Tamaa ya kila mmoja kutaka Urais,mayo inaiweka pabaya.kuhairisha Uchaguzi ata kama wanapanga hivyo bado watakuwa na wakati mgumu kwani fedha za kuendeshea Serikali zitapatikana wapi?wafadhiri bado wamekaza na shilling ndo hivyo tena inaelekea kuwa kama Zimbabwe dollar.
CCM walifuga Haya madudu now they have to drink the cup
 
Atatulipa nini kwa nafasi kubwa ya heshima kama hii?? Napendekeza ajenge fly overs zote Dsm wala si ilie ya Tazara tu. Halafu angalau anunue meli ya moja ya ziwa Victoria.
Ahadi za raisi wetu mmmh!!!! Sijui muda uliosalia aondoke madarakani zitakuwa zimetimizwa? Twambie Omulangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…